Monday, May 30, 2016

Usafi wa barabara unavutia

Hii ni pamoja na ‘ugaidi’ mwingine ambao uliwahi kufanyika katika ardhi ya Marekani, kwa mfano kulipuliwa kwa jengo la ‘World Trade Center’ mwaka 1993, ambapo watu sita waliuawa na kiasi cha wengine 1,000 kujeruhiwa na mabomu ya ugaidi mwingine kama ule wa Tanzania na Kenya Ijumaa ya Agosti 7, 1998 na sehemu nyingine mbalimbali za dunia.

Yote hayo yalidaiwa kuwa aliyeyafanya ni Osama, lakini uchunguzi dhidi yake unakwamishwa. Isitoshe, Minara ya Khobar iliyolipuliwa kwa bomu Jumatano ya Juni 25, 1996 katika eneo la majengo ya kambi ya kijeshi eneo la Dhahran, Saudi Arabia, ilidaiwa kuwa aliyetekeleza ugaidi huo ni Osama, lakini cha ajabu ni kwamba familia ya Bin Laden ndiyo iliyopewa kazi ya kujenga upya majengo ya minara hiyo.

‘Newsnight’ ilisema baada ya George W. Bush kuwa Rais wa Marekani, FBI waliambiwa waache kuichunguza familia hiyo ya Kisaudia. Greg Palast anasema siku chache baada ya Septemba 11, na wakati ‘washukiwa’ wa Kiislamu na wengine wote wenye asili au sura za Kiarabu wakiwa wanazingirwa kila mahali nchini Marekani, ndege maalumu ilitolewa ambayo iliwasafirisha watu 11 wa familia ya Bin Laden kutoka Marekani na kuwapeleka Saudi Arabia.

Watu hao walipanda ndege kutoka kwenye uwanja ule ule wa Boston ambamo ndege iliyoshambulia WTC iliondokea. Na bado dunia inaambiwa kuwa Osama ni gaidi aliyekuwa akitafutwa sana na Marekani?

Pengine wangebadilisha kauli kwa mujibu wa taarifa zilizotajwa hapo juu. Badala ya kusema Osama ni gaidi aliyekuwa akitafutwa sana na Marekani, waseme Osama ni gaidi aliyelindwa sana na Marekani.

Wengi wana mengi ya kusema juu ya jambo hili. Jean-Charles Brisard ni Mfaransa ambaye ni mtaalamu na mshauri wa kimataifa kuhusu ugaidi. Aliwahi kuandika kitabu kuhusu mtandao wa fedha wa familia ya Bin Laden.

Kitabu hicho alikiita ‘The Economic Environment of Osama Bin Laden’. Brisard aliheshimiwa sana na Rais wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, kutokana na kazi zake, hususan kazi za utafiti. Brisard anasema mwaka 1998 Osama aliweza kutumia fedha na mawasiliano yote aliyoweza kuyapata nchini Saudi Arabia na alikuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na maofisa kadhaa wa Serikali ya Saudi Arabia.

Isitoshe, anasema Brisard, Serikali ya Saudi Arabia ilikuwa ikiwasaidia Taliban ambao wanadaiwa kuwa walikuwa wakimhifadhi Osama nchini Afghanistan. “Katika nchi ya Saudi Arabia, mkono wa kushoto hupuuza mkono wa kulia,” anaandika Brisard na kuongeza, “…na FBI walijua fika hali halisi ya mambo.”

Brisard na mtu mwingine, Guillaume Dasquie, ambaye ni mwandishi wa habari wa Ufaransa aliyebobea katika habari za ugaidi, waliandika kitabu wanachokiita ‘Bin Laden: The Forbidden Truth’, ambacho chapa yake ya awali ni ya Kifaransa.

Ukuta wa Berlin na usafi wake

Yote hayo yalidaiwa kuwa aliyeyafanya ni Osama, lakini uchunguzi dhidi yake unakwamishwa. Isitoshe, Minara ya Khobar iliyolipuliwa kwa bomu Jumatano ya Juni 25, 1996 katika eneo la majengo ya kambi ya kijeshi eneo la Dhahran, Saudi Arabia, ilidaiwa kuwa aliyetekeleza ugaidi huo ni Osama, lakini cha ajabu ni kwamba familia ya Bin Laden ndiyo iliyopewa kazi ya kujenga upya majengo ya minara hiyo.

‘Newsnight’ ilisema baada ya George W. Bush kuwa Rais wa Marekani, FBI waliambiwa waache kuichunguza familia hiyo ya Kisaudia. Greg Palast anasema siku chache baada ya Septemba 11, na wakati ‘washukiwa’ wa Kiislamu na wengine wote wenye asili au sura za Kiarabu wakiwa wanazingirwa kila mahali nchini Marekani, ndege maalumu ilitolewa ambayo iliwasafirisha watu 11 wa familia ya Bin Laden kutoka Marekani na kuwapeleka Saudi Arabia.

Watu hao walipanda ndege kutoka kwenye uwanja ule ule wa Boston ambamo ndege iliyoshambulia WTC iliondokea. Na bado dunia inaambiwa kuwa Osama ni gaidi aliyekuwa akitafutwa sana na Marekani?

Pengine wangebadilisha kauli kwa mujibu wa taarifa zilizotajwa hapo juu. Badala ya kusema Osama ni gaidi aliyekuwa akitafutwa sana na Marekani, waseme Osama ni gaidi aliyelindwa sana na Marekani.

Wengi wana mengi ya kusema juu ya jambo hili. Jean-Charles Brisard ni Mfaransa ambaye ni mtaalamu na mshauri wa kimataifa kuhusu ugaidi. Aliwahi kuandika kitabu kuhusu mtandao wa fedha wa familia ya Bin Laden.

Kitabu hicho alikiita ‘The Economic Environment of Osama Bin Laden’. Brisard aliheshimiwa sana na Rais wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, kutokana na kazi zake, hususan kazi za utafiti. Brisard anasema mwaka 1998 Osama aliweza kutumia fedha na mawasiliano yote aliyoweza kuyapata nchini Saudi Arabia na alikuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na maofisa kadhaa wa Serikali ya Saudi Arabia.

Usafi uliofanyika katika ukumbi

Hii ni pamoja na ‘ugaidi’ mwingine ambao uliwahi kufanyika katika ardhi ya Marekani, kwa mfano kulipuliwa kwa jengo la ‘World Trade Center’ mwaka 1993, ambapo watu sita waliuawa na kiasi cha wengine 1,000 kujeruhiwa na mabomu ya ugaidi mwingine kama ule wa Tanzania na Kenya Ijumaa ya Agosti 7, 1998 na sehemu nyingine mbalimbali za dunia.

Kambi nyepesi ya mapigano makali

Hii ni pamoja na ‘ugaidi’ mwingine ambao uliwahi kufanyika katika ardhi ya Marekani, kwa mfano kulipuliwa kwa jengo la ‘World Trade Center’ mwaka 1993, ambapo watu sita waliuawa na kiasi cha wengine 1,000 kujeruhiwa na mabomu ya ugaidi mwingine kama ule wa Tanzania na Kenya Ijumaa ya Agosti 7, 1998 na sehemu nyingine mbalimbali za dunia.

Yote hayo yalidaiwa kuwa aliyeyafanya ni Osama, lakini uchunguzi dhidi yake unakwamishwa. Isitoshe, Minara ya Khobar iliyolipuliwa kwa bomu Jumatano ya Juni 25, 1996 katika eneo la majengo ya kambi ya kijeshi eneo la Dhahran, Saudi Arabia, ilidaiwa kuwa aliyetekeleza ugaidi huo ni Osama, lakini cha ajabu ni kwamba familia ya Bin Laden ndiyo iliyopewa kazi ya kujenga upya majengo ya minara hiyo.

‘Newsnight’ ilisema baada ya George W. Bush kuwa Rais wa Marekani, FBI waliambiwa waache kuichunguza familia hiyo ya Kisaudia. Greg Palast anasema siku chache baada ya Septemba 11, na wakati ‘washukiwa’ wa Kiislamu na wengine wote wenye asili au sura za Kiarabu wakiwa wanazingirwa kila mahali nchini Marekani, ndege maalumu ilitolewa ambayo iliwasafirisha watu 11 wa familia ya Bin Laden kutoka Marekani na kuwapeleka Saudi Arabia.

Watu hao walipanda ndege kutoka kwenye uwanja ule ule wa Boston ambamo ndege iliyoshambulia WTC iliondokea. Na bado dunia inaambiwa kuwa Osama ni gaidi aliyekuwa akitafutwa sana na Marekani?

Pengine wangebadilisha kauli kwa mujibu wa taarifa zilizotajwa hapo juu. Badala ya kusema Osama ni gaidi aliyekuwa akitafutwa sana na Marekani, waseme Osama ni gaidi aliyelindwa sana na Marekani.

Wengi wana mengi ya kusema juu ya jambo hili. Jean-Charles Brisard ni Mfaransa ambaye ni mtaalamu na mshauri wa kimataifa kuhusu ugaidi. Aliwahi kuandika kitabu kuhusu mtandao wa fedha wa familia ya Bin Laden.

Kitabu hicho alikiita ‘The Economic Environment of Osama Bin Laden’. Brisard aliheshimiwa sana na Rais wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, kutokana na kazi zake, hususan kazi za utafiti. Brisard anasema mwaka 1998 Osama aliweza kutumia fedha na mawasiliano yote aliyoweza kuyapata nchini Saudi Arabia na alikuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na maofisa kadhaa wa Serikali ya Saudi Arabia.

Isitoshe, anasema Brisard, Serikali ya Saudi Arabia ilikuwa ikiwasaidia Taliban ambao wanadaiwa kuwa walikuwa wakimhifadhi Osama nchini Afghanistan. “Katika nchi ya Saudi Arabia, mkono wa kushoto hupuuza mkono wa kulia,” anaandika Brisard na kuongeza, “…na FBI walijua fika hali halisi ya mambo.”

Brisard na mtu mwingine, Guillaume Dasquie, ambaye ni mwandishi wa habari wa Ufaransa aliyebobea katika habari za ugaidi, waliandika kitabu wanachokiita ‘Bin Laden: The Forbidden Truth’, ambacho chapa yake ya awali ni ya Kifaransa.

Ukurasa mpya wa blog

Tuieleza kuwa Serikali ya George W. Bush ilifanya mpango ili watu wa ukoo wa Osama bin Laden waondolewe Marekani ili wasibughudhiwe. Machi 28, 2005, gazeti ‘Daily Time’s la Pakistan, likiripoti kutoka Washington DC., Marekani, lilidai kuwa FBI (Shirika la Upelelezi la Marekani) iliwasaidia Wasaudia kuondoka baada ya mashambulizi ya Septemba 11.”

Mtangazaji wa BBC, Greg Palast, alisema kipindi cha ‘Newsnight’ cha BBC kimegundua historia ndefu ya “uhusiano wa karibu sana” ulioko kati ya Shirika la Kijasusi la Marekani (CIA), Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani na Wasaudia. (rejea http://goo.gl/NDCQmJ).

Michael Springman ambaye alikuwa kwenye dawati la kutoa visa mjini Jeddah, Saudi Arabia, kuanzia mwaka 1987 hadi 1989, alikaririwa na ‘BBC Newsnight’ akisema: “Nchini Saudi Arabia nilikuwa nikilazimishwa na maofisa wa ngazi za juu wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje (ya Marekani) nitoe visa kwa waombaji ambao hawakuwa na sifa ya kuzipata.

“Wengi wa hawa ni wale ambao hawakuwa na uhusiano na Saudi Arabia au Marekani. Nililalamika sana mjini Jeddah. Nilirudi hata Marekani kuilalamikia ofisi ya Mambo ya Nje … lakini sikusikilizwa … Nilichokuwa napinga kwa kweli ni kuingiza nchini (Marekani) askari wapya wa Osama bin Laden. Waliingiza nchini Marekani kufundishwa na CIA, ambao baada ya mafunzo walikuwa wakipelekwa Afghanistan ili kupigana dhidi ya Urusi.”

Upo hapo? Tilia mkazo maneno ya Springman: “ …askari wapya wa Osama bin Laden waliingiza nchini Marekani kufundishwa na CIA…”

Kauli ya Springman aliitoa wakati ule ambao Urusi ilikuwa imeikalia Afghanistan na vita yao dhidi ya Urusi ambayo ilikuwa ikipiganwa na mujahidina, akiwamo Osama bin Laden, ikawa inasimamiwa na CIA.

Wakati Springman akitoa madai hayo ulikuwa ni kati ya mwaka 1987 na 1989, au 1990. Huo ndio wakati ule ambao George H. Bush, ambaye awali alikuwa mkurugenzi wa CIA, alipoingia madarakani kuwa Rais wa 41 wa Marekani.

Saturday, May 28, 2016

Mafanikio tuliyopata

Fslh dlashd kjsah dsah dksa hdkjsa hdksaas dhjksa
Tuieleza kuwa Serikali ya George W. Bush ilifanya mpango ili watu wa ukoo wa Osama bin Laden waondolewe Marekani ili wasibughudhiwe. Machi 28, 2005, gazeti ‘Daily Time’s la Pakistan, likiripoti kutoka Washington DC., Marekani, lilidai kuwa FBI (Shirika la Upelelezi la Marekani) iliwasaidia Wasaudia kuondoka baada ya mashambulizi ya Septemba 11.”

Mtangazaji wa BBC, Greg Palast, alisema kipindi cha ‘Newsnight’ cha BBC kimegundua historia ndefu ya “uhusiano wa karibu sana” ulioko kati ya Shirika la Kijasusi la Marekani (CIA), Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani na Wasaudia. (rejea http://goo.gl/NDCQmJ).

Michael Springman ambaye alikuwa kwenye dawati la kutoa visa mjini Jeddah, Saudi Arabia, kuanzia mwaka 1987 hadi 1989, alikaririwa na ‘BBC Newsnight’ akisema: “Nchini Saudi Arabia nilikuwa nikilazimishwa na maofisa wa ngazi za juu wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje (ya Marekani) nitoe visa kwa waombaji ambao hawakuwa na sifa ya kuzipata.

“Wengi wa hawa ni wale ambao hawakuwa na uhusiano na Saudi Arabia au Marekani. Nililalamika sana mjini Jeddah. Nilirudi hata Marekani kuilalamikia ofisi ya Mambo ya Nje … lakini sikusikilizwa … Nilichokuwa napinga kwa kweli ni kuingiza nchini (Marekani) askari wapya wa Osama bin Laden. Waliingiza nchini Marekani kufundishwa na CIA, ambao baada ya mafunzo walikuwa wakipelekwa Afghanistan ili kupigana dhidi ya Urusi.”

Upo hapo? Tilia mkazo maneno ya Springman: “ …askari wapya wa Osama bin Laden waliingiza nchini Marekani kufundishwa na CIA…”

Kauli ya Springman aliitoa wakati ule ambao Urusi ilikuwa imeikalia Afghanistan na vita yao dhidi ya Urusi ambayo ilikuwa ikipiganwa na mujahidina, akiwamo Osama bin Laden, ikawa inasimamiwa na CIA.

Wakati Springman akitoa madai hayo ulikuwa ni kati ya mwaka 1987 na 1989, au 1990. Huo ndio wakati ule ambao George H. Bush, ambaye awali alikuwa mkurugenzi wa CIA, alipoingia madarakani kuwa Rais wa 41 wa Marekani.

Friday, May 27, 2016

Matunzo ya bustani kwa usafi

Tilia mkazo maneno ya Springman
“Wengi wa hawa ni wale ambao hawakuwa na uhusiano na Saudi Arabia au Marekani. Nililalamika sana mjini Jeddah. Nilirudi hata Marekani kuilalamikia ofisi ya Mambo ya Nje … lakini sikusikilizwa … Nilichokuwa napinga kwa kweli ni kuingiza nchini (Marekani) askari wapya wa Osama bin Laden. Waliingiza nchini Marekani kufundishwa na CIA, ambao baada ya mafunzo walikuwa wakipelekwa Afghanistan ili kupigana dhidi ya Urusi.”

Mambo tunayozingatia kama kampuni

U hdajl hdsakjhd kjashd ksa dhjksah djksa
Michael Springman ambaye alikuwa kwenye dawati la kutoa visa mjini Jeddah, Saudi Arabia, kuanzia mwaka 1987 hadi 1989, alikaririwa na ‘BBC Newsnight’ akisema: “Nchini Saudi Arabia nilikuwa nikilazimishwa na maofisa wa ngazi za juu wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje (ya Marekani) nitoe visa kwa waombaji ambao hawakuwa na sifa ya kuzipata.